Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on January 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on January 18, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on January 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwafirika (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on October 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on September 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on September 1, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Lowassa (Guest) on August 10, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 25, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on June 5, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zulekha (Guest) on April 5, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Husna (Guest) on March 31, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on March 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on February 18, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on February 14, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Mbise (Guest) on January 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on January 4, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Anna Mahiga (Guest) on November 19, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rose Lowassa (Guest) on October 6, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 6, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on September 1, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Wande (Guest) on August 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on July 19, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on July 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Hekima (Guest) on July 3, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwakisu (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Wambura (Guest) on June 14, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on May 6, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Baraka (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on April 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on March 17, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on March 11, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Mwikali (Guest) on January 13, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Majid (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on December 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on December 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mtumwa (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

David Musyoka (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanaidha (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on October 27, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More