Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Featured Image

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari, nikaenda kumziba macho nkamuulizaΒ otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
NA SASA HIVI NIMEZINDUKA NIMEONA ABIRIA WOTE TUPO WODI NAMBA 3 HAPA KCMC MOSHI. πŸ€•πŸ€•πŸ€•πŸ€•
SODA ZA WAGONJWA PLIIIZ!!! πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Catherine Mkumbo (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 22, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on April 9, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Omar (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Salma (Guest) on March 5, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on March 3, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Salum (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 3, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Mohamed (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on August 31, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on August 14, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Francis Mtangi (Guest) on June 6, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on May 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on April 17, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on April 4, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 22, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Amani (Guest) on March 21, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mwajuma (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Samuel Were (Guest) on March 1, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Agnes Lowassa (Guest) on February 10, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on February 7, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on February 1, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rahma (Guest) on January 31, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Raha (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jane Muthui (Guest) on January 11, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on January 5, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nashon (Guest) on December 30, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nancy Kawawa (Guest) on December 26, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Issack (Guest) on December 4, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zulekha (Guest) on November 3, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Mchome (Guest) on October 6, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mary Kendi (Guest) on September 22, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on September 15, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Samson Mahiga (Guest) on September 14, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on September 6, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on September 1, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on August 1, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Latifa (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maida (Guest) on July 20, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mzee (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on May 6, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on May 5, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Umi (Guest) on May 2, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on April 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sultan (Guest) on March 12, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on February 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakia (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Kamau (Guest) on December 29, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Emily Chepngeno (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Related Posts

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More