Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Tambwe (Guest) on February 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kimani (Guest) on December 30, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Esther Nyambura (Guest) on December 15, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kijakazi (Guest) on December 8, 2021

Asante Ackyshine

Joseph Mallya (Guest) on December 1, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 18, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Onyango (Guest) on November 13, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on October 31, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Umi (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Akumu (Guest) on September 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on September 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nora Lowassa (Guest) on July 23, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 7, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on May 26, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on April 24, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

James Mduma (Guest) on April 19, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Kibona (Guest) on March 23, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lydia Mahiga (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on January 24, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on January 12, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joyce Aoko (Guest) on December 29, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on December 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Irene Makena (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on November 16, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sharifa (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samson Mahiga (Guest) on October 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on October 6, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 31, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Jebet (Guest) on August 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Abdillah (Guest) on July 17, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on July 3, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Philip Nyaga (Guest) on June 22, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on June 16, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on January 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Janet Wambura (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on January 5, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

🀣πŸ”₯😊

Anna Sumari (Guest) on January 2, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on December 28, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 25, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Charles Mrope (Guest) on December 1, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on November 3, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jafari (Guest) on September 13, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on August 14, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on August 8, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on July 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More