Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joy Wacera (Guest) on February 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on January 25, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Christopher Oloo (Guest) on January 23, 2022

Asante Ackyshine

Peter Otieno (Guest) on January 17, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on January 13, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Saidi (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kassim (Guest) on November 25, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on November 14, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Nyalandu (Guest) on November 10, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Athumani (Guest) on November 9, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Mahiga (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jacob Kiplangat (Guest) on August 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Issack (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Alex Nyamweya (Guest) on August 8, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Njeri (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Lowassa (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Bahati (Guest) on June 26, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on June 17, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Sokoine (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on March 5, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 3, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 23, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rahim (Guest) on November 29, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Masanja (Guest) on October 30, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on September 15, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jane Muthui (Guest) on September 12, 2020

😊🀣πŸ”₯

George Mallya (Guest) on September 12, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nasra (Guest) on August 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Issack (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nasra (Guest) on August 28, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on August 23, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 1, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kazija (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on April 11, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Otieno (Guest) on March 20, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on March 14, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Simon Kiprono (Guest) on March 9, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on January 13, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on January 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Arifa (Guest) on December 24, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Mallya (Guest) on October 2, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More