Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on November 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mchuma (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on September 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kassim (Guest) on September 4, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on August 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on July 31, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Lowassa (Guest) on July 26, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 20, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jane Muthui (Guest) on July 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nahida (Guest) on June 29, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 11, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on June 8, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on May 10, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Binti (Guest) on April 2, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 21, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 2, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on January 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on January 7, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on November 2, 2020

Asante Ackyshine

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on September 6, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Martin Otieno (Guest) on September 5, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on September 2, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on August 30, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on August 4, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on July 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 4, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mrema (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on March 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 23, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bahati (Guest) on March 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Daudi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Issa (Guest) on March 16, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More