
Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enheeβ¦
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesomeβ¦
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kulaβ¦.
GIRL: Enheeβ¦na sisi??
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamasβ¦.halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheartβ¦halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enheeβ¦
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesomeβ¦
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kulaβ¦.
GIRL: Enheeβ¦na sisi??
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamasβ¦.halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheartβ¦halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Samson Tibaijuka (Guest) on December 15, 2021
ππ
Emily Chepngeno (Guest) on November 20, 2021
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Joseph Njoroge (Guest) on November 8, 2021
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mchuma (Guest) on October 28, 2021
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Maida (Guest) on October 15, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Samuel Omondi (Guest) on September 25, 2021
π€£π₯π
Kassim (Guest) on September 4, 2021
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Mariam Kawawa (Guest) on August 2, 2021
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Zuhura (Guest) on July 31, 2021
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Edward Lowassa (Guest) on July 26, 2021
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Jane Muthui (Guest) on July 20, 2021
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Mjaka (Guest) on July 13, 2021
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Jane Muthui (Guest) on July 4, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Nahida (Guest) on June 29, 2021
π€£ Sikutarajia hiyo!
Victor Kamau (Guest) on June 24, 2021
Hii ni ya maana sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on June 18, 2021
ππ ππ
Thomas Mwakalindile (Guest) on June 11, 2021
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Khamis (Guest) on June 8, 2021
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
John Lissu (Guest) on May 10, 2021
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2021
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2021
ππππ
Binti (Guest) on April 2, 2021
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2021
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on March 21, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2021
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Nassor (Guest) on March 13, 2021
π Lazima nihifadhi hii!
Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2021
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Ann Awino (Guest) on February 2, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Ann Wambui (Guest) on January 13, 2021
Nimecheka hadi machozi π€£π
Emily Chepngeno (Guest) on January 7, 2021
Mna talent ya jokes! ππ
Janet Mbithe (Guest) on December 11, 2020
ππ
George Ndungu (Guest) on December 9, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Dorothy Nkya (Guest) on December 3, 2020
π Hiyo punchline!
Tambwe (Guest) on November 2, 2020
Asante Ackyshine
Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2020
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Patrick Akech (Guest) on October 8, 2020
Umesema kweli! ππ
Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mazrui (Guest) on September 6, 2020
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Martin Otieno (Guest) on September 5, 2020
Hii ni kali sana! ππ€£
David Chacha (Guest) on September 2, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
John Mushi (Guest) on August 30, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Safiya (Guest) on August 4, 2020
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
James Mduma (Guest) on July 14, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Hashim (Guest) on July 4, 2020
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2020
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on April 22, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Emily Chepngeno (Guest) on April 10, 2020
π Hii ni kali sana!
Alice Mrema (Guest) on April 7, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2020
ππ π
Jane Malecela (Guest) on April 1, 2020
π€£π€£ππ
Grace Mushi (Guest) on March 31, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elijah Mutua (Guest) on March 30, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Joy Wacera (Guest) on March 23, 2020
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Bahati (Guest) on March 21, 2020
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Daudi (Guest) on March 20, 2020
π Ninaihifadhi hii!
Issa (Guest) on March 16, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ