Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on January 16, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on November 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mchuma (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on September 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kassim (Guest) on September 4, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on August 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on July 31, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Lowassa (Guest) on July 26, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 20, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jane Muthui (Guest) on July 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nahida (Guest) on June 29, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 11, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on June 8, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on May 10, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Binti (Guest) on April 2, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 21, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 2, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on January 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on January 7, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on November 2, 2020

Asante Ackyshine

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on September 6, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Martin Otieno (Guest) on September 5, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on September 2, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on August 30, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on August 4, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on July 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 4, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mrema (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on March 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 23, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bahati (Guest) on March 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Daudi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More