Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia

"Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera"

Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna.

#UTOTO RAHA πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Malima (Guest) on July 17, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 30, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on June 9, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwakisu (Guest) on May 22, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Wande (Guest) on April 18, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwanaidha (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

James Kawawa (Guest) on March 7, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on January 27, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Shamim (Guest) on January 25, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on January 10, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on December 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on November 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on November 6, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 2, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on September 19, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Achieng (Guest) on August 26, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fatuma (Guest) on August 15, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Victor Sokoine (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Malisa (Guest) on August 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on August 8, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samson Tibaijuka (Guest) on July 29, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on July 3, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on June 3, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on May 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Brian Karanja (Guest) on May 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on May 18, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Njuguna (Guest) on May 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on April 18, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on January 8, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on November 28, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Yusuf (Guest) on November 24, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ndoto (Guest) on November 13, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on October 13, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on September 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on August 24, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on August 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on July 27, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on July 14, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 10, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on March 18, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Kabura (Guest) on January 8, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More