Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Saidi (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More