Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!

2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.

3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.

4. Kutapika ndani ndani ya Daladala fain 250/= ,ukijamba pia 250/= ,Sasa jamba tukujue viti vina alarm!…

5.Hatujasema wewe ni Mnene ila Ukikalia SITI mbili Lipia….

6. Hio Elfu kumi yako nenda nunua avocado upake alafu uteleze hadi posta ,nauli ya daladala ni 350/=.

7. usifungue dirisha ungetaka upepo ungepanda pikipiki..

8. wewe Dada hebu sogea hukoo, Unaringa nini wakati asubuhi hii umeoga na sabuni ya kuoshea vyombo…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on June 30, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on June 12, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Hawa (Guest) on May 24, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Njuguna (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 6, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on April 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on March 26, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kenneth Murithi (Guest) on March 16, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 7, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on March 7, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on March 2, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Guest (Guest) on December 17, 2025

Pw

Rose Kiwanga (Guest) on February 19, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Aziza (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Jane Muthoni (Guest) on October 4, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Lissu (Guest) on September 23, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on September 14, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Faiza (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Majid (Guest) on July 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on June 26, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on June 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on June 18, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on June 13, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on June 6, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mariam Hassan (Guest) on May 24, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Daniel Obura (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hekima (Guest) on April 20, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on April 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on March 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on March 18, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Habiba (Guest) on March 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chris Okello (Guest) on February 15, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on January 29, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on January 15, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kimani (Guest) on January 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 12, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on December 13, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Mussa (Guest) on December 5, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on November 22, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 17, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Hamida (Guest) on October 28, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on October 15, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kazija (Guest) on September 28, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Fredrick Mutiso (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on September 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on August 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 21, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on July 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Amir (Guest) on June 2, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Amani (Guest) on May 4, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on April 2, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on December 8, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More