Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zulekha (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nduta (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on June 25, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 1, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mahiga (Guest) on May 29, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on March 28, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 31, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on January 26, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Okello (Guest) on October 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on March 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 27, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Nyota (Guest) on February 16, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on October 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwanakhamis (Guest) on June 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on June 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Nyerere (Guest) on June 6, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on May 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tambwe (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raha (Guest) on March 23, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rabia (Guest) on March 16, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Warda (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Halima (Guest) on February 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kitine (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on December 24, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More