Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 4, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 26, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 23, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 15, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Warda (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 11, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Susan Wangari (Guest) on January 8, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on December 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 22, 2023

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on October 1, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mashaka (Guest) on September 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on September 1, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 20, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 19, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zainab (Guest) on August 15, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on May 14, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alex Nyamweya (Guest) on May 4, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on May 4, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on April 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Raphael Okoth (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 11, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on February 3, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on January 8, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sharon Kibiru (Guest) on December 31, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on December 6, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 27, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on November 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on November 6, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Biashara (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on October 24, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kevin Maina (Guest) on October 10, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on July 31, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on June 25, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on June 19, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on May 20, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nyota (Guest) on May 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More