Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Yusra (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2024

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on February 17, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mbithe (Guest) on February 13, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Fadhila (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nassar (Guest) on January 31, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Irene Makena (Guest) on December 1, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on November 27, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Simon Kiprono (Guest) on November 21, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on October 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 19, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Aziza (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 18, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on June 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on April 12, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nasra (Guest) on March 31, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mallya (Guest) on March 27, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 26, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Malima (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Sokoine (Guest) on August 29, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 18, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on July 18, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mgeni (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Mgeni (Guest) on December 11, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 8, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on November 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 14, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on September 20, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on June 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 18, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More