Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

shayumastersr (User) on April 27, 2025

Hahaha hii kali canA

Ibrahim (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Wafula (Guest) on July 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on May 1, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salum (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mary Sokoine (Guest) on March 10, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Edward Chepkoech (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on January 5, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Musyoka (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on October 15, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Malecela (Guest) on September 20, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Josephine Nekesa (Guest) on September 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on August 11, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on July 21, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanais (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Michael Mboya (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on April 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 28, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Martin Otieno (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on March 19, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on February 28, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Frank Macha (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 7, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarafina (Guest) on August 30, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Malisa (Guest) on August 10, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 13, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Susan Wangari (Guest) on June 23, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Fikiri (Guest) on June 12, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on April 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on March 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on February 26, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on February 22, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on February 12, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More