Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

lyahas (User) on November 30, 2025

nzuri

George Tenga (Guest) on July 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sharifa (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mzee (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Okello (Guest) on April 28, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khalifa (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 16, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 28, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on November 27, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rabia (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Salum (Guest) on March 21, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on February 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zawadi (Guest) on October 27, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Omar (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More