Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Ochieng (Guest) on March 18, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 6, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on December 15, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on December 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on November 20, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kazija (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on August 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Tambwe (Guest) on July 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on July 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 24, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 1, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on May 5, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Khamis (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on February 17, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on February 2, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mwangi (Guest) on January 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Ali (Guest) on December 13, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Mushi (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on December 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Shamim (Guest) on October 10, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on October 5, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 10, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abubakar (Guest) on July 9, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 6, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 13, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 8, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on December 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More