Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rashid (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yahya (Guest) on May 18, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on April 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on April 13, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chris Okello (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 10, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on January 31, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 31, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on November 17, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hamida (Guest) on August 14, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on July 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on July 5, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 19, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 8, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Martin Otieno (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shani (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on November 24, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 10, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Juma (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Lissu (Guest) on April 25, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 19, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on February 24, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on January 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on January 11, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kijakazi (Guest) on January 2, 2022

Asante Ackyshine

Shamsa (Guest) on December 23, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Zainab (Guest) on December 20, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More