Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Husna (Guest) on June 18, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhila (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Guest (Guest) on November 24, 2025

".yani mtu unakuta nimevaa vizuri
:badara uniambie nduguyangu
=umependeza
.unakuja kuniambi
.ET UMEULAMBAA
WEWE nimeulamba mnini..
naulishawahi kuniona naulamba wap nanani alikwambia mimi naulamba
umeona naishara gani paka ukasema nimeulamba nimeramba kinini umeona mimi ndo wakuulamba mimi kwel au ww unaesoma ndohuwa unaulamba

aaaa badilisheni kali bwana a
(abu me by )

Aziza (Guest) on May 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mwajuma (Guest) on April 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on March 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on February 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on January 24, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on January 22, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Tibaijuka (Guest) on December 28, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Mallya (Guest) on December 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Awino (Guest) on August 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on July 20, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nduta (Guest) on June 23, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 6, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mchawi (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Furaha (Guest) on March 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 4, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 7, 2026

A

Benjamin Masanja (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on November 25, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kitine (Guest) on October 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on October 1, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nahida (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Kimaro (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More