Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Husna (Guest) on June 18, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhila (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Aziza (Guest) on May 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mwajuma (Guest) on April 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on March 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on February 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on January 24, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on January 22, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Tibaijuka (Guest) on December 28, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Mallya (Guest) on December 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Awino (Guest) on August 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on July 20, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nduta (Guest) on June 23, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 6, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mchawi (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Furaha (Guest) on March 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 4, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on November 25, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kitine (Guest) on October 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on October 1, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nahida (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Kimaro (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Maimuna (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthui (Guest) on January 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More