Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 22, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on April 19, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salima (Guest) on March 31, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on December 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on October 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Farida (Guest) on October 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on September 21, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Kiwanga (Guest) on September 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on July 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on March 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on March 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Masika (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Achieng (Guest) on January 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on January 6, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on November 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on October 20, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on October 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Maneno (Guest) on September 18, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on September 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on August 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Mwita (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Kawawa (Guest) on July 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 6, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More