Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa
kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za
kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa
mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu
atakubariki zaidi

PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri
mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu,
huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya
kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia
kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on February 19, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Bernard Oduor (Guest) on December 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 27, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on November 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthoni (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Warda (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sarah Karani (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Wafula (Guest) on July 31, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on July 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on May 23, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on April 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mhina (Guest) on March 22, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 12, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 25, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on September 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 21, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on June 16, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 10, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nchi (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 31, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mazrui (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Malima (Guest) on May 10, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 26, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2022

🀣πŸ”₯😊

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on November 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Maimuna (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More