Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on June 19, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Naliaka (Guest) on March 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on March 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on January 14, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 28, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 16, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 2, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 1, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on November 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on October 10, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Mbithe (Guest) on October 7, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samuel Were (Guest) on September 21, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tabitha Okumu (Guest) on July 31, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Makame (Guest) on July 25, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Tabu (Guest) on May 27, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Ndungu (Guest) on May 23, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zubeida (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Kawawa (Guest) on March 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on October 14, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on October 4, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on September 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on September 5, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 2, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on August 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 18, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Warda (Guest) on July 8, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Paul Ndomba (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwajabu (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 17, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on February 25, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Bahati (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nekesa (Guest) on February 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Muslima (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Muslima (Guest) on December 11, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jaffar (Guest) on November 16, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Halimah (Guest) on November 9, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More