Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Featured Image
237 Comments

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Featured Image
237 Comments

Lugha za namba ni noma

Featured Image
237 Comments

Simu ilivyozua utata

Featured Image
237 Comments

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Featured Image
236 Comments

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 Comments

Huyu ndo mwanamke

Featured Image
237 Comments

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Featured Image
Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
236 Comments

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali baraa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.
237 Comments

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Featured Image
236 Comments