Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo
Updated at: 2024-05-25 17:02:05 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=. Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/="
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO. Kwenda na kurudi sh.12,000/=. Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA.
Updated at: 2024-05-25 17:54:58 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma akawambia wanafunzi.
'leo tutajifunza kipindi cha dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha kwa vitendo.
Je % Ngapi unampa mwalimu kwa kusolve kibarua chake.????
Updated at: 2024-05-25 17:11:57 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
MZARAMO V/S MCHAGA. Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100,000/= Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki yako nakukuongeza laki nyingine. MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa. MZARAMO: "unaumwa nini?" MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.." MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.." Mchaga akatoa. MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.." MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?" MZARAMO: "Umepona karibu tena.." Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake. MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau sanaaaaa.." MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..' MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..' MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.." MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?" MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.