Updated at: 2024-05-25 17:11:57 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MZARAMO V/S MCHAGA. Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote kwa tsh. 100,000/= Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki yako nakukuongeza laki nyingine. MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa. MZARAMO: "unaumwa nini?" MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.." MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.." Mchaga akatoa. MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.." MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?" MZARAMO: "Umepona karibu tena.." Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake. MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau sanaaaaa.." MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..' MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..' MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.." MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?" MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake
Updated at: 2024-05-25 17:02:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.
Siku ya 2 akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50 akapiga chochoro za kutosha kisha akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea๐ณ
Updated at: 2024-05-25 18:09:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita tangazo kama ifuatavyo:
Ndugu wasafiri wote, ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa Kitanzania. Baada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chake Walipomuuliza ni kwanini hakuondoka akajibu kwa haraka na furaha kuwa: Kama ndege hii imetengenezwa na watanzania, hata kuwaka haitawaka!
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza
Zuzu: Mambo Anna! Anna: Poa! Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheโฆ Anna: Kitu gan? Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda) Anna: Haya nionyesheโฆ
Updated at: 2024-05-25 18:07:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Zuzu: Mambo Anna! Anna: Poa! Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheโฆ Anna: Kitu gan? Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda) Anna: Haya nionyesheโฆ
Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga) Anna: Haya nionyeshe sasa!.. Zuzu: Zima taa kwanza (akazima) Anna: Mhmโฆnionyeshe sasa! Zuzu: Haya njoo hapa kitandaniโฆ Anna: Ok, nionyeshe! Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizaniโฆ Acha mawazo mabaya ww???
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
Updated at: 2024-05-25 18:07:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu ABDUL aliniambia nishuke Chalinze ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule je, wewe mzazi unge mfanyaje mwanao?