Duh. mjamzito ana kazi
Updated at: 2024-05-25 17:01:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
ππππukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba
Read more
Close
Angalia Kiingereza kilivyoniponza
Updated at: 2024-05-25 17:02:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Shikamoo kingereza..!
Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:
Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole!
Price: TSH 44,000/=
Nikaagiza!
Nilipoletewa ndio nagundua kwamba:Β ni makande na parachichi Β ..π€
hapo ndo unagundua mwalimu wa kiingereza alikuwa sio mtu wa mchezo mchezoπ€π¨
Read more
Close
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
Updated at: 2023-04-29 22:53:45 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Mchungaji Kauliza: Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia. Mchungaji akauliza: Β tueleze pingamizi lakoKibabu kikajibu: Β Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.kanisa zima hoi,
Read more
Close
Dunia ina mambo, soma hii
Updated at: 2024-05-25 17:05:16 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dunia ina mambo Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso wakeπππππ
Read more
Close
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
Updated at: 2024-05-25 16:59:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. ππππ
Read more
Close
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake
Updated at: 2024-05-25 16:55:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hili nalo neneo.
Ukimuona mbwaπΆ harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilichomleta pale ndicho kilichokupeleka na wewe hapo
Read more
Close
Eti kwani wewe ni turubali?
Updated at: 2024-05-25 17:07:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unakuta MTU mwaka Mzima Umehudhuria, Β birthday parties 20 , Β misiba 30, Mikutano kanisani 40, Ndoa 80 na bado uko Single Kwani wewe ni turubai jaman?? πππππππππππ
Read more
Close
Duh! Huyu kazidi sasa
Updated at: 2024-05-25 17:53:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπππ
Read more
Close
Huyu mwanafunzi kweli kiboko
Updated at: 2024-05-25 17:17:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..
John kusikia hivyo....Karusha begi la daftari nje.....`Β
`Ticha akauliza: Nani karusha begi nje!?!`*
`John: Mimi..... Kwa herii Mwalimu......` ππ,ππ
Read more
Close
Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana
Updated at: 2024-05-25 17:49:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera Mjukuu: Niambie babu Babu: Kwenye vita ya kagera tulienda sehemu tukakamatwa wote askari na maadui wakatuambia chagueni kuuliwa au kubakwa. Mjukuu: Sasa babu wewe ulichagua nn? Babu: Niliuliwa!!!
Read more
Close