Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Featured Image
236 Comments

Wadada acheni hizo

Featured Image
236 Comments

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
236 Comments

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Featured Image
236 Comments

Wasichana wafupi wanafurahisha

Featured Image
236 Comments

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na……..
236 Comments

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
236 Comments

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 Comments

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
236 Comments

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
236 Comments