MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
Updated at: 2024-05-25 18:02:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!
Updated at: 2024-05-25 18:11:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
CHEKA KIDOGO
MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA. Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku akiwa hajui kama mkewe malaya, Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka mkewe akaanza kuingiza wanaume kama kawaida Hawara 1;nakupenda Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla Mume wngu hajarudi. Hawara 1;oke! Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua hawara 2. mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu hajarudi.. picha likaendelea huku wa darini akiona vyote, mlangon kukagongwa mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea mumewe, mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana tulikua hatuna mboga mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu. hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo uvunguni…
*Mdukuzi:* _nikikuuliza swali unaakili ya kujibu?_ *Massai:* _ulisa acha maneno yako._ *Mdukuzi:* _nitajie wanyama kumi wa porini_ *Massai:* _swala watatu na tembo saba_😆😆😆😆😆😆👆🏿
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake
Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
Updated at: 2023-04-29 22:53:48 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya.
ungekua wewe ungemjibu nini
Updated at: 2023-04-29 22:52:51 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
NIMEKAA NIKAWAZA 🙇🏼 KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVI👌🏻 WAAFRIKA HATUYAJUI 🙉
KAMA TUNGEKUWA TUNAYAJUA HATA HAWA WAMAREKANI,🇺🇸WACHINA🇯🇵 NA HATA WATU WA ULAYA TUNGEKUWA🇽🇪 TUNAWAPITA KIMAENDELEO
MAMBO YENYEWE,,
HATA MIMI SIYAJUI MAANA NA MIMI NI MWAFRIKA 😂😂😂😂
Updated at: 2024-05-25 17:51:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaangalia matako. 😆😆😆mungu anatuona jaman😆😆😆😆😆😆Makeup ya matako iletwe
Updated at: 2024-05-25 17:57:33 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI
1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati. 2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati. 3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza……. 4. Kamwe haiiti always vaibration. 5. Namba nyingi ha save. 6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi 7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika. 8.Muda mwingi ni mtu wakujihami. 9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara. 10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta dial no haraka. 11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi. 12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia. 13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi 14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜😜😜😜