Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Featured Image
238 Comments

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 Comments

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Featured Image
236 Comments

Hili nalo neno kwa wavulana

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 Comments

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image
236 Comments

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
236 Comments

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
236 Comments

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 Comments

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image
236 Comments