Sala ni chimbuko la Fadhila
Updated at: 2024-05-27 07:11:59 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. Asaliye daima hujazwa neema na fadhila.
Read more
Close
Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu
Updated at: 2024-05-27 07:11:36 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu kama hajichukii yeye mwenyewe na wale wanaomzunguka. Huwezi kusema humtaki Mungu kama hujichukii mwenyewe na wale waliokuzunguka vivyo hivyo huwezi kusema Unampenda Mungu kama hupendi wengine waliokuzunguka.
Read more
Close
Sifa za Sala yeyote
Updated at: 2024-05-27 07:11:31 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kama hii ndiyo ipendezayo mbele ya Mungu.
Read more
Close
Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Updated at: 2024-05-27 07:12:05 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio wakati ambao Mungu yupo karibu na wewe zaidi.
Read more
Close
Mafundisho ya amani
Updated at: 2024-05-27 07:12:08 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia wala kututupa".
Read more
Close
Mungu anajibu sala kutokana na nia
Updated at: 2024-05-27 07:11:39 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.
Read more
Close
Mungu ni mwema hata tunapokua wadhambi
Updated at: 2024-05-27 07:11:41 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu ni mwema sana tunapokua wadhambi anapotuadhibu haimaanishi kuwa anatuchukia. Inamaanisha kuwa anatuonya na hapendi turudie makosa.
Read more
Close
Sala ni Hazina
Updated at: 2024-05-27 07:11:27 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijayo au ikasaidia watoto wa watoto wako. Mungu ni mwenye fadhila na anakumbuka yote. Mwombe Mungu akulinde ukiwa mzima ili uwapo hatarini akukumbuke hata kabla hujamwomba.
Read more
Close
Anachokiangalia Mungu
Updated at: 2024-05-27 07:11:39 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake. Nia ya mtu ndiyo inayoonyesha mtu alivyo.
Read more
Close
Mungu ni mwema
Updated at: 2024-05-27 07:11:33 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Mungu anaporuhusu ukaingia katika majaribu na mateso hana nia ya kukutesa bali anataka kukuimarisha. Mungu ni mwema kila wakati.
Read more
Close