Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mnyororo wa Baraka za Mungu

Featured Image

Usiache kusali na kutenda mema kwa kuwa huwezi jua ni watu wangapi wanategemea sala na matendo yako mema. Kumbuka Mungu alimwambia Abraham kama akikuta Wacha Mungu wengi hataiharibu Sodoma na Gomora. Vivyo hivyo Inawezekana wapo watu wengi wanaonufaika na Sala na matendo yako, hasa watu wako wa karibu uwapendao. Unapokuwa mtu wa Sala na mcha Mungu unabarikiwa wewe na wale wa karibu yako. KAMWE USIACHE KUMCHA MUNGU NA KUSALI. Ukiwa mregevu ni sawa na unakata Mnyororo wa Baraka za Mungu kwako na wenzako.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Mahiga (Guest) on March 25, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Agnes Lowassa (Guest) on February 12, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Rose Amukowa (Guest) on January 7, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Betty Kimaro (Guest) on September 22, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Kamau (Guest) on June 22, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Njuguna (Guest) on June 14, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Mutua (Guest) on March 18, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lucy Wangui (Guest) on March 7, 2023

Mungu akubariki!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 1, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on February 23, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nancy Kabura (Guest) on February 13, 2023

Endelea kuwa na imani!

Mary Njeri (Guest) on January 19, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Sarah Karani (Guest) on October 6, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Victor Sokoine (Guest) on July 15, 2022

Rehema hushinda hukumu

Betty Cheruiyot (Guest) on July 6, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Martin Otieno (Guest) on April 13, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Monica Lissu (Guest) on December 27, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mchome (Guest) on December 7, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 7, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Fredrick Mutiso (Guest) on May 23, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Nancy Kabura (Guest) on April 28, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Sumaye (Guest) on April 12, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Henry Mollel (Guest) on August 3, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Richard Mulwa (Guest) on May 28, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Tibaijuka (Guest) on May 3, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Peter Mwambui (Guest) on November 21, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Andrew Mahiga (Guest) on September 15, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Esther Cheruiyot (Guest) on April 12, 2019

Nakuombea πŸ™

Hellen Nduta (Guest) on February 28, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Charles Mrope (Guest) on February 4, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Moses Kipkemboi (Guest) on February 2, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Simon Kiprono (Guest) on January 5, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Alice Wanjiru (Guest) on December 29, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Anna Mahiga (Guest) on November 8, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Joseph Kiwanga (Guest) on October 21, 2018

Rehema zake hudumu milele

John Malisa (Guest) on August 7, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Paul Kamau (Guest) on July 6, 2018

Sifa kwa Bwana!

Emily Chepngeno (Guest) on January 28, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Joseph Njoroge (Guest) on October 26, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Sharon Kibiru (Guest) on June 27, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on September 19, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joseph Kawawa (Guest) on August 15, 2016

Dumu katika Bwana.

Lucy Kimotho (Guest) on September 11, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mary Mrope (Guest) on August 16, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on July 23, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

James Malima (Guest) on May 10, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Janet Mwikali (Guest) on April 17, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Upendo wa KiMungu

Upendo wa KiMungu

Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako k... Read More

Mafundisho ya amani

Mafundisho ya amani

Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia w... Read More

Uzuri wa Mungu

Uzuri wa Mungu

Uzuri wa Mungu ni kwamba anasamehe na kisha anasahau. Unapotubu dhambi zako na kutaka huruma zake... Read More

Sala sio maneno tuu

Sala sio maneno tuu

Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunui... Read More

Anachokiangalia Mungu

Anachokiangalia Mungu

Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake... Read More

Siri ya Imani kwa Mungu

Siri ya Imani kwa Mungu

Mungu daima ni Mwaminifu na mwenye Huruma. Kinachotakiwa ni kuamini kwamba kipo na kitakuwepo. Ku... Read More

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika m... Read More

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya... Read More

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Kuomba na Kushukuru

Kuomba na Kushukuru

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More