Wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo, lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mimba. Vyanzo vya vidonda vya tumbo mara nyingi ni maambukizi yatokanayo na msongo wa mawazo, kula vyakula vyenye mafuta mengi na viungo vingi, au kuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia. Baadhi ya dawa huathiri tumbo kama vile asprini na ndiyo maana sio kila mtu anashauriwa kuzitumia. Vidonge vya kuzuia mimba havisababishi vidonda vya tumbo.

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana
Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako
Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako
Ndoa ni muunganiko wa wawili kuwa ki... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Je, Tanzania kuna wataalamu wanaosaidia watu wenye matatizo ya ulevi wa kupindukia?
Ndiyo. Hapa Tanzania kuna kitengo maalumu kinachojishughulisha
na masuala ya akili. Wataalam...
Read More

Ni tahadhari gani nichukue ninapomhudumia mgonjwa wa UKIMWI?
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi ... Read More

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi... Read More

Lengo na sababu ya kujamiiana
Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;
... Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?
Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?
Hapana shaka, kufanya mape... Read More

Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako
Mara nyingi, kama wanaume, tunataka kuonye... Read More

Je, kuna madhara yoyote pale utakapojaribu kutumia dawa za kulevya mara moja tu au utakapotumia kwa kiasi kidogo sana?
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyaz... Read More

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?
Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukub... Read More

Njia za Kupata Msichana Mzuri wa Kuwa Naye Maisha Yote
Njia za Kupata Msichana Mzuri wa Kuwa Naye Maisha Yote
Kila mwanamume anataka kupata msich... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!