Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Lengo na sababu ya kujamiiana

Featured Image

Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;

  1. kupata starehe,
  2. kujiburudisha,
  3. kupoteza mawazo,
  4. kujenga na kudumisha uhusiano na hisia za kupendana,
  5. kuhitajiana,

Hata hivyo ni muhimu sana kuzingatia uzazi wa mpango. Ili kuleta raha katika tendo la kujamiiana na kuzuia mimba isiyotakiwa na kuzaa mtoto ambaye mtashindwa kumlea ni lazima kutumia uzazi wa mpango.

Tumia njia za kupanga uzazi kama hamtaki kupata mimba! Au kwa usalama zaidi tumia kondomu ambayo ni kinga ya mimba na maambukizi mengine yanayosababishwa na ngono.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv... Read More

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Karibu kwenye makala hii kuhusu kwa nini watu wanapendelea njia za asili za kupanga uzazi. Kupang... Read More

Njia za Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuwa na Uhusiano

Njia za Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuwa na Uhusiano

Karibu ndugu yangu kwenye makala hii ambao inazungumzia njia mbalimbali ambazo utaweza kutumia ku... Read More

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda

Kuanza mazungumzo na msichana unayempenda inaweza kuwa vigumu, lakini pia inaweza kuwa jambo la k... Read More

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

  1. Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi... Read More

Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?

Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?

Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu ... Read More

Je, nikijamiiana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu, nitapata virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je, nikijamiiana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu, nitapata virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Uwezekano wa kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ukijamii ana na mtu mwenye virusi vya UKI... Read More

Je, watu huchanganyikiwa baada ya matumizi ya dawa za kulevya?

Je, watu huchanganyikiwa baada ya matumizi ya dawa za kulevya?

Kuna i imani potofu kwamba wote wenye matatizo ya akili wamekuwa hivyo kutokana na matumizi ya da... Read More

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana n... Read More
Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Kuwashirikisha wasichana katika malengo ya pamoja ni jambo muhimu sana katika jamii yetu. Wasicha... Read More

Je, watu wana amini katika kutumia mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wana amini katika kutumia mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Salamu! Karibu kwenye makala ya leo kuhusu mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono. Ni jambo muhi... Read More