Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mapishi ya Biriani Ya Tuna

Featured Image

MAHITAJI

Mchele Basmati - Mugs 2 Β½

Vitunguu (Vikubwa kiasi) - 3

Tuna - Vibati 3

Carrot - 2 kubwa

Tomatoe paste - 1 kikopo

Kitunguu saumu(thomu/galic) - 2 Vijiko vya supu

Tangawizi - 2 Vijiko vya supu

Uzile (Bizari ya pilau ya unga) (cummin powder )

(Jeera) - Β½ Kijiko cha supu

Mdalasini - Β½ Kijiko Cha supu

NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA

Tuna carrots (grate) ziwe kama chicha weka kando.

Kaanga vitunguu 2 mpaka viwe brown weka pembeni.

Kaanga Kitunguu cha 3 halafu changanya na tangawizi, thomu, na tuna huku unakoroga.

Changanya na tomatoe, uzile (cummin powder) na mdalasini, koroga vizuri (hakikisha umeweka mtoto mdogo mdogo kwani ni rahisi kuungua)

Ikiwiva epua weka pembeni.

Chemsha wali wako kwa maji mengi na uuchuje kabla haujawiva vizuri na uugawe sehemu

Chukua trey au sufuria ambayo itaweza kuingia vitu vyote uilivyoandaa, tandaza fungu la kwanza la wali halafu utandaze carrot juu yake.

Tandaza fungu la pili la wali halafu utandaze vitunguu juu yake.

Tandaza fungu la tatu la wali halafu utandaze tuna (masalo) juu yake.

Mwisho tandaza fungu la nne la wali, ufunike vizuri na upike kwenye oven (bake) 350 Deg C kwa muda wa dakika 20

Epua ikiwa tayari kuliwa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Utayarishaji bora wa chakula

Utayarishaji bora wa chakula

Β· Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
Β· Tumia vyombo sa... Read More

Mapishi ya Pilau Ya Kuku Kwa Mchele Mpya

Mapishi ya Pilau Ya Kuku Kwa Mchele Mpya

Mahitaji

Mchele - 1 kilo

Kuku - 1

Vitunguu - 3

Viazi/mbatata - 5

... Read More

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi

Upishi na Mafuta ya Zeituni: Faida za Afya na Matumizi ya Mapishi 🍽️

Karibu katika ma... Read More

Mapishi ya Pilau Ya Kuku Kwa Mchele Mpya

Mapishi ya Pilau Ya Kuku Kwa Mchele Mpya

Mahitaji

Mchele - 1 kilo

Kuku - 1

Vitunguu - 3

Viazi/mbatata - 5

... Read More

Mapishi ya Wali Wa Tambi Na Kuku Wa Sosi Ya Mtindi

Mapishi ya Wali Wa Tambi Na Kuku Wa Sosi Ya Mtindi

Vipimo Vya Wali

Mchele - 3 vikombe

Tambi - 2 vikombe

Mafuta - ΒΌ kikombe

<... Read More
Mapishi ya Wali wakukaanga

Mapishi ya Wali wakukaanga

Mahitaji

Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic... Read More

Mapishi ya Wali Wa Zaafarani Na Kuku Wa Kupaka

Mapishi ya Wali Wa Zaafarani Na Kuku Wa Kupaka

Vipimo

Wali:

Mchele - 3 Vikombe

Kitunguu kiichokatwa - 1

Pilipili bog... Read More

Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele

Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele

Mahitaji

Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4... Read More

Jinsi ya kupika Roast ya biringanya na mayai

Jinsi ya kupika Roast ya biringanya na mayai

Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki k... Read More

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tangawizi

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tangawizi

MAHITAJI

Unga - 2 Vikombe

Cocoa ya unga - 1 Kijiko cha supu

Sukari ya hudhuru... Read More

Kujifunza Misingi ya Upishi Bora kwa Afya Yako

Kujifunza Misingi ya Upishi Bora kwa Afya Yako

Kujifunza misingi ya upishi bora kwa afya yako ni hatua muhimu katika kuboresha maisha yako na ku... Read More

Mapishi ya Maharage na spinach

Mapishi ya Maharage na spinach

Mahitaji

Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji ... Read More