Β· Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
Β· Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
Β· Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
Β· Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka

Utayarishaji bora wa chakula

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!