Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kukulinda ungali tumboni mwa mama yako….Wakati wazazi wanasubiri kwa shauku kuona muonekano wako wewe, Mungu anawaweka wajukuu wa wazazi wako/ watoto wako ndani mwako…. Wakati wazazi wakitafuta chakula kwa ajili yako, Mungu yeye aliwawezesha kukipata…. Wakati wazazi wakingoja kuona unavyoendelea kukua huku wakiwaza hatima ya maisha yako Mungu anakuendeleza na alishapanga maisha yako tangu alipokuchagua uwe mtu ukiwa tumboni mwa mama yako…. Wazazi wanaweza kukuombea kwa Mungu lakini Mungu ndiye anayeamua akufanyie nini maana Wewe ni wa kwake….Wewe na wazazi wako ni watoto wa Baba mmoja ambaye ndiye Mungu.

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi
Date: April 10, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Tusali daima
Sala sio kitu cha muhimu kufanya wakati wa shida tuu. Sala ni kitu cha muhimu zaidi kila siku kat... Read More

Upendo na ubinafsi
Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Kuomba na Kushukuru
Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila
Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Mafundisho ya amani
Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia w... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu
Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Sala ni kuongea na Mungu
Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi
Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Mungu ni Mwaminifu
Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwa... Read More
Jane Muthoni (Guest) on December 26, 2023
Neema na amani iwe nawe.
Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
Lydia Wanyama (Guest) on May 23, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Grace Mushi (Guest) on April 4, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Robert Ndunguru (Guest) on September 16, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Alice Mrema (Guest) on August 11, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Martin Otieno (Guest) on July 17, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
David Sokoine (Guest) on February 18, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Francis Njeru (Guest) on January 16, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
Miriam Mchome (Guest) on January 3, 2022
Rehema hushinda hukumu
Peter Mugendi (Guest) on July 27, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Patrick Mutua (Guest) on July 22, 2021
Mungu akubariki!
Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Andrew Odhiambo (Guest) on May 12, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nora Lowassa (Guest) on February 26, 2020
Endelea kuwa na imani!
Charles Wafula (Guest) on February 10, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Esther Cheruiyot (Guest) on November 25, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Agnes Sumaye (Guest) on August 6, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nancy Kawawa (Guest) on July 26, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
Charles Mchome (Guest) on June 23, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Janet Mwikali (Guest) on March 8, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Catherine Mkumbo (Guest) on January 4, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
Mary Mrope (Guest) on October 4, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Mariam Hassan (Guest) on September 20, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Edwin Ndambuki (Guest) on September 4, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Lydia Wanyama (Guest) on September 1, 2018
Dumu katika Bwana.
Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Chris Okello (Guest) on May 26, 2018
Rehema zake hudumu milele
Victor Kamau (Guest) on May 14, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Grace Mushi (Guest) on January 18, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Patrick Akech (Guest) on November 13, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Irene Makena (Guest) on June 25, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
John Lissu (Guest) on May 8, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Lucy Wangui (Guest) on March 31, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mary Kidata (Guest) on March 29, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Elizabeth Mtei (Guest) on January 5, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
Alice Mwikali (Guest) on January 1, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Edward Lowassa (Guest) on September 26, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Robert Ndunguru (Guest) on July 15, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Charles Wafula (Guest) on July 3, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Richard Mulwa (Guest) on June 7, 2016
Mwamini katika mpango wake.
Lucy Mushi (Guest) on March 27, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
John Lissu (Guest) on February 3, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
James Kimani (Guest) on January 2, 2016
Nakuombea 🙏
Lydia Wanyama (Guest) on November 22, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Rose Mwinuka (Guest) on November 2, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Elizabeth Mrema (Guest) on June 19, 2015
Sifa kwa Bwana!
Peter Mwambui (Guest) on April 28, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia