Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Featured Image

Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kukulinda ungali tumboni mwa mama yako….Wakati wazazi wanasubiri kwa shauku kuona muonekano wako wewe, Mungu anawaweka wajukuu wa wazazi wako/ watoto wako ndani mwako…. Wakati wazazi wakitafuta chakula kwa ajili yako, Mungu yeye aliwawezesha kukipata…. Wakati wazazi wakingoja kuona unavyoendelea kukua huku wakiwaza hatima ya maisha yako Mungu anakuendeleza na alishapanga maisha yako tangu alipokuchagua uwe mtu ukiwa tumboni mwa mama yako…. Wazazi wanaweza kukuombea kwa Mungu lakini Mungu ndiye anayeamua akufanyie nini maana Wewe ni wa kwake….Wewe na wazazi wako ni watoto wa Baba mmoja ambaye ndiye Mungu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthoni (Guest) on December 26, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Lydia Wanyama (Guest) on May 23, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Grace Mushi (Guest) on April 4, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Ndunguru (Guest) on September 16, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alice Mrema (Guest) on August 11, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Martin Otieno (Guest) on July 17, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Sokoine (Guest) on February 18, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Njeru (Guest) on January 16, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Miriam Mchome (Guest) on January 3, 2022

Rehema hushinda hukumu

Peter Mugendi (Guest) on July 27, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Mutua (Guest) on July 22, 2021

Mungu akubariki!

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Odhiambo (Guest) on May 12, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nora Lowassa (Guest) on February 26, 2020

Endelea kuwa na imani!

Charles Wafula (Guest) on February 10, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Esther Cheruiyot (Guest) on November 25, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Agnes Sumaye (Guest) on August 6, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on July 26, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Charles Mchome (Guest) on June 23, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Janet Mwikali (Guest) on March 8, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Catherine Mkumbo (Guest) on January 4, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on October 4, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mariam Hassan (Guest) on September 20, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Edwin Ndambuki (Guest) on September 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Wanyama (Guest) on September 1, 2018

Dumu katika Bwana.

Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on May 26, 2018

Rehema zake hudumu milele

Victor Kamau (Guest) on May 14, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Grace Mushi (Guest) on January 18, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Patrick Akech (Guest) on November 13, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Irene Makena (Guest) on June 25, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

John Lissu (Guest) on May 8, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lucy Wangui (Guest) on March 31, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Mary Kidata (Guest) on March 29, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mtei (Guest) on January 5, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Mwikali (Guest) on January 1, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Edward Lowassa (Guest) on September 26, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Robert Ndunguru (Guest) on July 15, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Charles Wafula (Guest) on July 3, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Richard Mulwa (Guest) on June 7, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lucy Mushi (Guest) on March 27, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

John Lissu (Guest) on February 3, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

James Kimani (Guest) on January 2, 2016

Nakuombea 🙏

Lydia Wanyama (Guest) on November 22, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on November 2, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Elizabeth Mrema (Guest) on June 19, 2015

Sifa kwa Bwana!

Peter Mwambui (Guest) on April 28, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Ni jambo jema kusamehe... Read More

Tusali daima

Tusali daima

Sala sio kitu cha muhimu kufanya wakati wa shida tuu. Sala ni kitu cha muhimu zaidi kila siku kat... Read More

Upendo na ubinafsi

Upendo na ubinafsi

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Kuomba na Kushukuru

Kuomba na Kushukuru

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Mafundisho ya amani

Mafundisho ya amani

Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia w... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Sala ni kuongea na Mungu

Sala ni kuongea na Mungu

Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni juk... Read More

Mungu ni Mwaminifu

Mungu ni Mwaminifu

Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwa... Read More