Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwake. Tunaposali leo Mungu anatusikia na kujibu leo, kesho au hata miaka kumi ijayo. Inawezekana hata baraka zako za leo ni majibu ya Sala zako miaka kumi iliyopita. Sali bila kuchoka kwani hujui Sala zako zitakusaidia lini. Usitegemee majibu ya Sala zako wakati huo huo, amini katika uaminifu wa Mungu kwani anajua lini ni siku sahii ya kukujibu.

Mungu ni Mwaminifu
Date: June 30, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Uzuri wa Mungu
Uzuri wa Mungu ni kwamba anasamehe na kisha anasahau. Unapotubu dhambi zako na kutaka huruma zake... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila
Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Sala ni Upendo
Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako
Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Sala ni ufunguo
Sala ni ufunguo wa kufungulia mema na kufungia Mabaya. Tusali ili tufungue mema katika maisha yet... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea
Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Sala inayojibiwa
Hakuna sala yeyote itolewayo kwa unyenyekevu wa kweli katika imani, matumaini na mapendo inayopit... Read More

Jambo la muhimu zaidi Duniani
Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa ... Read More

Njia ya Kumrudia Mungu
Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri... Read More

Siri ya Imani kwa Mungu
Mungu daima ni Mwaminifu na mwenye Huruma. Kinachotakiwa ni kuamini kwamba kipo na kitakuwepo. Ku... Read More

Sali daima
Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

Anachokiangalia Mungu
Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake... Read More
Samson Tibaijuka (Guest) on April 27, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
John Mushi (Guest) on September 3, 2023
Baraka kwako na familia yako.
Mercy Atieno (Guest) on August 22, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Dorothy Nkya (Guest) on August 14, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nancy Kawawa (Guest) on July 28, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
David Nyerere (Guest) on July 15, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
David Nyerere (Guest) on July 10, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Ann Wambui (Guest) on July 7, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Alice Mwikali (Guest) on June 20, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
Victor Sokoine (Guest) on June 4, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Violet Mumo (Guest) on February 22, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Rose Waithera (Guest) on January 31, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2022
Rehema zake hudumu milele
Edward Lowassa (Guest) on May 26, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
Grace Minja (Guest) on May 21, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Grace Njuguna (Guest) on April 20, 2022
Nakuombea π
Betty Cheruiyot (Guest) on March 31, 2022
Neema na amani iwe nawe.
Joyce Aoko (Guest) on March 23, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Brian Karanja (Guest) on January 15, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Janet Mwikali (Guest) on October 30, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
James Kawawa (Guest) on July 12, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
David Chacha (Guest) on April 25, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
John Mushi (Guest) on January 7, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2020
Dumu katika Bwana.
John Malisa (Guest) on June 29, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Ann Awino (Guest) on April 14, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mercy Atieno (Guest) on February 10, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
John Lissu (Guest) on September 10, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
Diana Mumbua (Guest) on February 23, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Joy Wacera (Guest) on November 16, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Paul Kamau (Guest) on August 27, 2018
Sifa kwa Bwana!
Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Alice Mwikali (Guest) on June 3, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Philip Nyaga (Guest) on May 20, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Grace Njuguna (Guest) on April 6, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Esther Nyambura (Guest) on March 14, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Paul Kamau (Guest) on January 13, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Dorothy Majaliwa (Guest) on January 6, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Frank Sokoine (Guest) on October 23, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
Rose Mwinuka (Guest) on September 19, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rose Amukowa (Guest) on August 31, 2017
Rehema hushinda hukumu
Charles Mboje (Guest) on February 23, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Monica Adhiambo (Guest) on December 12, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Joy Wacera (Guest) on October 30, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Dorothy Nkya (Guest) on October 5, 2016
Mwamini katika mpango wake.
Henry Mollel (Guest) on March 7, 2016
Mungu akubariki!
Irene Makena (Guest) on February 5, 2016
Endelea kuwa na imani!