Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Featured Image

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya nini kiroho, mfano unaweza kupanga sala, kusaidia masikini, kuwa mpole au mwema. Vivyo hivyo kila wiki, kila mwezi na kila mwaka mpya panga cha kufanya kiroho naye Mungu atakubariki na kukupangia zaidi. Huwezi kufanikiwa kiroho kama hujui unafanya nini kiroho.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on April 21, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2024

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Minja (Guest) on March 11, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on January 19, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Betty Akinyi (Guest) on January 7, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Mtangi (Guest) on July 26, 2023

Nakuombea πŸ™

Stephen Amollo (Guest) on May 26, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on May 8, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Kidata (Guest) on April 2, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Victor Kimario (Guest) on February 28, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Alice Wanjiru (Guest) on December 30, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2022

Sifa kwa Bwana!

Nancy Komba (Guest) on November 29, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Nancy Komba (Guest) on November 28, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mercy Atieno (Guest) on November 2, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joy Wacera (Guest) on October 9, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Stephen Kangethe (Guest) on July 26, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Rose Waithera (Guest) on July 17, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Andrew Mahiga (Guest) on June 28, 2022

Rehema zake hudumu milele

Kenneth Murithi (Guest) on April 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Peter Mugendi (Guest) on June 20, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

George Tenga (Guest) on May 1, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Monica Lissu (Guest) on January 18, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Catherine Mkumbo (Guest) on September 5, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Charles Mrope (Guest) on September 1, 2020

Dumu katika Bwana.

Charles Wafula (Guest) on July 24, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joyce Aoko (Guest) on September 5, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Irene Akoth (Guest) on June 17, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Faith Kariuki (Guest) on February 26, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Alex Nakitare (Guest) on February 2, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on December 24, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Stephen Kangethe (Guest) on September 11, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 5, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Tabitha Okumu (Guest) on January 23, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Mwangi (Guest) on October 15, 2017

Endelea kuwa na imani!

Jane Malecela (Guest) on August 28, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on August 4, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Grace Minja (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 2, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Minja (Guest) on April 2, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Victor Mwalimu (Guest) on February 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Mushi (Guest) on September 29, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Monica Nyalandu (Guest) on August 3, 2015

Mungu akubariki!

Lydia Mutheu (Guest) on April 15, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

Mungu ni mwenye Huruma

Mungu ni mwenye Huruma

Mungu ni mwenye Huruma na Upendo na Anataka watu wote waokolewe naye. Mungu hayupo kwa ajili ya k... Read More

Mambo muhimu katika sala

Mambo muhimu katika sala

Sala pasipo Imani thabiti, ya nia ya kweli, upendo wa kweli, unyenyekevu wa ndani na tumaini la k... Read More

Mungu ni mwema

Mungu ni mwema

Mungu anaporuhusu ukaingia katika majaribu na mateso hana nia ya kukutesa bali anataka kukuimaris... Read More

Tusali daima

Tusali daima

Sala sio kitu cha muhimu kufanya wakati wa shida tuu. Sala ni kitu cha muhimu zaidi kila siku kat... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Sala ni kuongea na Mungu

Sala ni kuongea na Mungu

Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Maana ya kubarikiwa

Maana ya kubarikiwa

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More