Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ndoto (Guest) on March 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on February 27, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on February 13, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nchi (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Mwangi (Guest) on January 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanaidi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on December 18, 2016

🀣πŸ”₯😊

Omari (Guest) on December 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on November 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on November 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on September 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 21, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Yusuf (Guest) on August 10, 2016

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on August 6, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 1, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jane Malecela (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nchi (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on January 20, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 17, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 23, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on September 2, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on July 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on July 14, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Zakaria (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Chacha (Guest) on April 17, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 1, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More