Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mustafa (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on August 5, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on July 21, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rabia (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Shukuru (Guest) on April 29, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 2, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Mahiga (Guest) on February 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on September 19, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Musyoka (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Malima (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 5, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on May 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 25, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on March 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on February 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwafirika (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Chris Okello (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Biashara (Guest) on May 27, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Mushi (Guest) on April 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on April 13, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 3, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More