Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)
Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.
4. NDOA YA MAONYESHO
Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!
5. NDOA YA UHAMISHO.
Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.
6. NDOA YA MIMBA.
Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.
7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)
Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.
8. NDOA YA KWASABABU.
Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.
9. NDOA YA UPENDO.
Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.
10. NDOA KUCHUMA
Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!
Mary Kidata (Guest) on July 21, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017
ππ€£ππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 20, 2017
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Nancy Komba (Guest) on June 20, 2017
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Francis Njeru (Guest) on April 12, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Betty Akinyi (Guest) on February 22, 2017
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Charles Mrope (Guest) on February 19, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Andrew Mchome (Guest) on February 9, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Francis Njeru (Guest) on January 22, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
James Mduma (Guest) on December 9, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Alex Nyamweya (Guest) on November 21, 2016
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2016
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on September 29, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2016
π Nilihitaji kicheko hicho!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 15, 2016
ππ
Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016
π Kali sana!
Joy Wacera (Guest) on September 1, 2016
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Anna Malela (Guest) on August 28, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Nancy Komba (Guest) on July 27, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Jafari (Guest) on July 7, 2016
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Jackson Makori (Guest) on June 26, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Lucy Kimotho (Guest) on June 24, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
David Chacha (Guest) on May 19, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2016
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Joyce Aoko (Guest) on May 2, 2016
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Mary Njeri (Guest) on April 17, 2016
ππ
Simon Kiprono (Guest) on April 14, 2016
π Hii ni ya kuhifadhi!
Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2016
Umetisha! ππ
Nchi (Guest) on March 16, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Dorothy Nkya (Guest) on March 10, 2016
πππ€£
Margaret Anyango (Guest) on March 1, 2016
π€£ Sikutarajia hiyo!
Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2016
Huyu alikuwa na point! ππ
Violet Mumo (Guest) on February 20, 2016
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
John Lissu (Guest) on January 29, 2016
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Robert Ndunguru (Guest) on January 25, 2016
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Sarah Achieng (Guest) on January 4, 2016
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Hassan (Guest) on December 31, 2015
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Lucy Wangui (Guest) on December 29, 2015
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
George Mallya (Guest) on December 19, 2015
π Ninaihifadhi hii!
Violet Mumo (Guest) on December 12, 2015
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Robert Ndunguru (Guest) on December 3, 2015
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Mchawi (Guest) on November 21, 2015
π Nilihitaji hii!
Andrew Mahiga (Guest) on November 14, 2015
ππ€£
Janet Wambura (Guest) on November 3, 2015
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Joy Wacera (Guest) on August 21, 2015
π Siwezi kuacha kucheka!
Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2015
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Tabitha Okumu (Guest) on July 13, 2015
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Victor Kamau (Guest) on July 7, 2015
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Catherine Mkumbo (Guest) on July 7, 2015
Hii ni kali sana! ππ€£
Shabani (Guest) on June 29, 2015
π Kali sana!
Michael Mboya (Guest) on June 28, 2015
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Halima (Guest) on June 26, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Nancy Kawawa (Guest) on June 7, 2015
πππ π
Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015
π Lazima nihifadhi hii!
John Lissu (Guest) on April 21, 2015
πππ π€£