Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on June 20, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Njeru (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on February 22, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on February 9, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on January 22, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 9, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Malela (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 27, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jafari (Guest) on July 7, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jackson Makori (Guest) on June 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Kimotho (Guest) on June 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Aoko (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nchi (Guest) on March 16, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Dorothy Nkya (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

John Lissu (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on January 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 4, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hassan (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Wangui (Guest) on December 29, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

George Mallya (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on December 3, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mchawi (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Andrew Mahiga (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on November 3, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on July 13, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on July 7, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on July 7, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Shabani (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on June 28, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Halima (Guest) on June 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More