Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโฆ
Mara blenda priiiiiโฆ juiceโฆ ama milk shakeโฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeโฆAnza kukuna naziโฆ
Chambua mnafuโฆ
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโฆ hahahaha kwenye frijiโฆ wala hatumi..
Hahaahhaโฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuโฆ
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiโฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโฆHahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโฆ
Hahahahahahaโฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโฆ aogeโฆ
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโฆ
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniโฆ
Hahahahahaโฆ yani kwa raha ya supuโฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโฆ
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโฆ. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโฆ
Wali maharage kama jeshi la j
Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐คฃ
Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐
Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017
Kweli mna ucheshi! ๐๐คฃ
Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! ๐๐
Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017
Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐
Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐๐คฃ
George Wanjala (Guest) on May 11, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐
Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐๐
Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017
๐ Nalia kwa kweli hapa!
Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017
๐ Bado nacheka!
Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017
Nimefurahia sana hii joke! ๐ ๐
Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017
๐คฃ๐คฃ๐๐
Maulid (Guest) on December 22, 2016
๐ Nilihitaji hii!
Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016
๐ Ninashiriki mara moja!
David Nyerere (Guest) on November 11, 2016
๐ Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Maulid (Guest) on October 22, 2016
๐ Kichekesho gani!
Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016
Kweli mnajua kuchekesha! ๐๐
Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐๐
Khadija (Guest) on August 16, 2016
๐ Kicheko bora ya siku!
Baraka (Guest) on July 25, 2016
๐ Imeongezwa kwenye vipendwa!
Jaffar (Guest) on June 30, 2016
๐ Ninacheka sana sasa hivi!
Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016
๐คฃ๐คฃ๐
Rubea (Guest) on May 24, 2016
๐ Kali sana!
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐คฃ
Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016
๐ Hali imeboreshwa papo hapo!
Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016
Hii ni ya maana sana! ๐๐
Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐๐
Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐๐
Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016
๐ Kichekesho kamili!
Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016
Hii imenifurahisha sana! ๐๐
Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐๐
Anna Malela (Guest) on January 28, 2016
Hii imenifurahisha kweli! ๐๐
Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016
Asante Ackyshine
Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015
Hii ni joke ya kipekee! ๐คฃ๐
Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015
๐ Umenishika vizuri!
Jamila (Guest) on November 17, 2015
๐คฃ Nalia kwa kicheko kweli!
Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015
๐คฃ๐๐๐
Nassor (Guest) on November 2, 2015
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐
Ramadhan (Guest) on November 1, 2015
๐คฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015
๐๐๐
Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015
๐ ๐๐๐
Kheri (Guest) on September 4, 2015
๐ Naihifadhi hii!
Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015
๐ Hii ni kali sana!
Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐ ๐
Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐๐
Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐
Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015
Mna talent ya jokes! ๐๐
George Mallya (Guest) on June 15, 2015
๐คฃ๐ฅ๐
David Sokoine (Guest) on June 1, 2015
๐ Siwezi kuacha kucheka na hii!
Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015
๐คฃ๐๐
Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015
Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐คฃ๐ญ
Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015
๐คฃ๐๐
Bakari (Guest) on April 21, 2015
๐ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Chiku (Guest) on April 12, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐
Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐๐