Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Maulid (Guest) on December 22, 2016

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

๐Ÿ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Khadija (Guest) on August 16, 2016

๐Ÿ˜ Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

๐Ÿ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Rubea (Guest) on May 24, 2016

๐Ÿ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

๐Ÿคฃ Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Kheri (Guest) on September 4, 2015

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐Ÿ˜†

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜Š

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Bakari (Guest) on April 21, 2015

๐Ÿ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐Ÿ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

๐Ÿ‘ง: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

๐Ÿ‘จ: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.