Mimi Nimecheka sana
ππππππππππ
ZIARA ZA KUSHTUKIZAππ
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.
Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.
Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, βMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapiβ Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.
Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, βMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyoβ. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.
Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, βSalama kaka unasemaje?β Jibu likanitoka βSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yanguβ Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani
Mariam (Guest) on February 21, 2017
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
James Mduma (Guest) on February 4, 2017
Hii ni kali sana! ππ€£
Irene Akoth (Guest) on February 4, 2017
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Frank Macha (Guest) on January 27, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Monica Nyalandu (Guest) on January 18, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
John Mushi (Guest) on January 15, 2017
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Paul Ndomba (Guest) on January 11, 2017
Hii imenibamba sana! π π€£
Mary Njeri (Guest) on December 3, 2016
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Sarafina (Guest) on November 21, 2016
π Hiyo punchline!
Ruth Kibona (Guest) on November 12, 2016
Nimeipenda hii joke! ππ
Margaret Anyango (Guest) on October 26, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
David Ochieng (Guest) on October 26, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Michael Mboya (Guest) on October 3, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
David Chacha (Guest) on September 27, 2016
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2016
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Anna Sumari (Guest) on July 25, 2016
πππ€£
Alice Mwikali (Guest) on July 15, 2016
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Ann Wambui (Guest) on July 8, 2016
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 8, 2016
ππ€£ππ
Bernard Oduor (Guest) on July 3, 2016
Mna talent ya jokes! ππ
Jane Muthoni (Guest) on June 26, 2016
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on June 22, 2016
π πππ
Chum (Guest) on May 19, 2016
π Ninashiriki mara moja!
Peter Tibaijuka (Guest) on May 6, 2016
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Francis Njeru (Guest) on May 4, 2016
π Umenishika vizuri!
Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2016
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Paul Ndomba (Guest) on April 23, 2016
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Isaac Kiptoo (Guest) on April 22, 2016
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Anthony Kariuki (Guest) on March 31, 2016
Hii ni ya maana sana! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on February 29, 2016
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Edwin Ndambuki (Guest) on February 24, 2016
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Mary Njeri (Guest) on February 5, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Zakaria (Guest) on February 3, 2016
Asante Ackyshine
Amir (Guest) on January 23, 2016
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Chum (Guest) on January 11, 2016
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Lucy Wangui (Guest) on January 1, 2016
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Sarah Mbise (Guest) on December 30, 2015
π Dhahabu ya vichekesho!
Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2015
Huyu alikuwa na point! ππ
Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2015
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Mhina (Guest) on November 7, 2015
π Hii ni kali sana!
Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Hellen Nduta (Guest) on November 2, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elizabeth Mrope (Guest) on November 2, 2015
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Azima (Guest) on September 10, 2015
π Nacheka hadi nalia!
Alice Mrema (Guest) on August 30, 2015
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on August 17, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Andrew Mchome (Guest) on August 5, 2015
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Nora Kidata (Guest) on July 31, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2015
ππ€£π
Charles Mrope (Guest) on June 22, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Francis Mrope (Guest) on June 12, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on June 12, 2015
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Tambwe (Guest) on May 19, 2015
π Siwezi kuacha kucheka!