Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on June 4, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 28, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on April 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on March 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on February 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on December 8, 2016

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on November 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on October 7, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 25, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mboje (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on August 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Wangui (Guest) on July 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Makena (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on May 17, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 12, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 22, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zakia (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Masanja (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on October 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Njeri (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Lissu (Guest) on September 11, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kabura (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 29, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Yusra (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on July 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Bernard Oduor (Guest) on July 12, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Hekima (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on April 24, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More