Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on January 10, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on November 19, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nasra (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alex Nyamweya (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

David Musyoka (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nasra (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on August 18, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on July 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 24, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 13, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Muslima (Guest) on February 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Achieng (Guest) on February 8, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwachumu (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on February 2, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edwin Ndambuki (Guest) on January 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on January 9, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 22, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Azima (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Maida (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ramadhan (Guest) on September 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 28, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on March 20, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on February 16, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on November 14, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on October 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Halimah (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Kiwanga (Guest) on September 2, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Shani (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Anna Sumari (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 5, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Shamim (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on May 25, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mgeni (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rahim (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More