Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mrope (Guest) on January 6, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on December 2, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on November 27, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Janet Sumari (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Fadhila (Guest) on August 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Hekima (Guest) on June 15, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Warda (Guest) on June 11, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Mushi (Guest) on May 27, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jamal (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Tabitha Okumu (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 5, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hassan (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Chacha (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on January 1, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mbise (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ramadhan (Guest) on December 4, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

John Lissu (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kiza (Guest) on November 25, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 9, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwinyi (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mercy Atieno (Guest) on October 14, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 25, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on September 18, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 29, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nancy Akumu (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on July 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Faiza (Guest) on July 14, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Ochieng (Guest) on June 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Lissu (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on April 24, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on March 9, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Salum (Guest) on February 26, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Wangui (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Fatuma (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Diana Mumbua (Guest) on February 17, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Diana Mumbua (Guest) on February 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on January 29, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Abdillah (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Mutua (Guest) on December 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mboje (Guest) on October 15, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Michael Onyango (Guest) on August 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on July 7, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Nyerere (Guest) on July 1, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on May 16, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Khadija (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Nyerere (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on April 4, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on April 1, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More