Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on March 5, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jamal (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Safiya (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on January 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on December 28, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Christopher Oloo (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maulid (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 4, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on July 9, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Kibwana (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on April 2, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kitine (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 15, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on March 6, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sharon Kibiru (Guest) on November 26, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Kahina (Guest) on October 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mchome (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Warda (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on May 5, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 8, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More