Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 13, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on September 4, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mchome (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 26, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on April 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Makame (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Chiku (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on February 7, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on February 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 11, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on December 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 30, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nashon (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Mallya (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on June 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on June 9, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Onyango (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zainab (Guest) on December 20, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nasra (Guest) on August 18, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on August 15, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mchome (Guest) on July 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nuru (Guest) on June 12, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salma (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on May 25, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwafirika (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More