Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on February 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Samuel Were (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on January 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Leila (Guest) on January 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Furaha (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Frank Macha (Guest) on November 27, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fadhila (Guest) on November 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Francis Mrope (Guest) on November 6, 2016

🀣πŸ”₯😊

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on October 5, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on September 26, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kitine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on September 13, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on September 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Issa (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on August 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on June 10, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Samuel Omondi (Guest) on June 4, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on May 27, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Mrope (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 10, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Carol Nyakio (Guest) on February 6, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on January 4, 2016

😊🀣πŸ”₯

Ruth Mtangi (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kassim (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mrema (Guest) on December 19, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Biashara (Guest) on December 1, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on November 23, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Malima (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Emily Chepngeno (Guest) on October 25, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 17, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on October 8, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on September 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on September 24, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on September 22, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on August 5, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on July 29, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on July 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on July 5, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on June 16, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rukia (Guest) on April 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on April 9, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on April 7, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More