Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abdillah (Guest) on February 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on December 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omar (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Kevin Maina (Guest) on December 9, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Charles Mrope (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zakaria (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on September 8, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on August 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 25, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 20, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Majaliwa (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kevin Maina (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on June 28, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 18, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on April 27, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Zubeida (Guest) on March 14, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Azima (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 14, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Fadhila (Guest) on January 29, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Wanjiru (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Njuguna (Guest) on November 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mbithe (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Abubakari (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on April 22, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.