Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yusuf (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on February 28, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Umi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Linda Karimi (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baraka (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on November 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 27, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nduta (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on September 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on August 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchuma (Guest) on June 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 4, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Maneno (Guest) on March 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 3, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mhina (Guest) on January 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on September 30, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on September 27, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on September 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on September 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on August 20, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on August 16, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mjaka (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on July 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Naliaka (Guest) on April 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More