Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yusuf (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on February 28, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Umi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Linda Karimi (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baraka (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on November 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 27, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nduta (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on September 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on August 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchuma (Guest) on June 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 4, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Maneno (Guest) on March 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 3, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mhina (Guest) on January 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on September 30, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on September 27, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on September 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on September 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on August 20, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on August 16, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mjaka (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on July 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Naliaka (Guest) on April 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More