Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yusuf (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on February 28, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Umi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Linda Karimi (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baraka (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on November 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 27, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nduta (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on September 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on August 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchuma (Guest) on June 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 4, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Maneno (Guest) on March 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 3, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mhina (Guest) on January 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on September 30, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on September 27, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on September 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on September 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on August 20, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on August 16, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mjaka (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on July 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Naliaka (Guest) on April 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More