Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on August 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Kamande (Guest) on July 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Safiya (Guest) on June 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Miriam Mchome (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on May 8, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on April 28, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on March 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on March 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Selemani (Guest) on January 24, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 23, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on December 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on November 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on June 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on April 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 1, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on January 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issa (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on November 9, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on October 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maneno (Guest) on September 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanajuma (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on August 16, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 12, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 4, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on June 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on June 11, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Njeri (Guest) on April 15, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More