Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Khamis (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Khatib (Guest) on December 14, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on November 19, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 13, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hashim (Guest) on October 16, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 4, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on September 20, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Monica Lissu (Guest) on August 12, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sultan (Guest) on July 31, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mtumwa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on July 5, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on June 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on June 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on May 6, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on April 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ahmed (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kawawa (Guest) on February 22, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Leila (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜† Kali sana!

David Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on November 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on August 20, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Simon Kiprono (Guest) on July 27, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nahida (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on June 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Malima (Guest) on May 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on May 13, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on May 5, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 20, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Saidi (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Were (Guest) on January 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on January 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on December 16, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on October 29, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lucy Wangui (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mariam (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Fadhili (Guest) on September 22, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Kenneth Murithi (Guest) on August 16, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 26, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on May 30, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Ndunguru (Guest) on May 22, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More